None
SW
Costech yaipa SUA jukumu wafugaji Kongwa
['Na John Nditi']
HabariLeo
DODOMA; TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imetoa ufadhili wa Sh milioni 400 kwa ajili ya Mradi wa kuimarisha uwezo wa wafugaji kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi unaotekelezwa na Watafiti wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), ikilenga kutatua changamoto ya upatikanaji wa malisho kwa wafugaji nyakati za kiangazi. Mradi huo unatekelezwa …