None
SW
Museveni aanza ziara Tanzania
['Mwandishi Wetu']
HabariLeo
RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia Agosti 5 hadi 6, 2026, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan.