None
SW
Serikali yataka mikataba bora ya kazi
['Frank Leonard']
HabariLeo
SERIKALI imevitaka vyama vya wafanyakazi nchini kuimarisha demokrasia ya ndani, kuongeza kasi ya kufunga mikataba ya hali bora za kazi na kuendeleza majadiliano ya kijamii ili kulinda maslahi ya wafanyakazi na kuongeza tija katika maeneo ya kazi.