None
SW
Soka la Tanzania litajengwa watanzania
['Grace Mkojera']
HabariLeo
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema ukosoaji wenye nia njema ni sehemu muhimu ya maendeleo ya soka nchini kwa kuwa husaidia kubaini changamoto na kuimarisha utendaji wa shirikisho.