None
SW
Mgombea ubunge Hanang aomba kiwanda cha nafaka
['Na Theresia Challe', 'Mwandishi Wetu', 'New York']
HabariLeo
MANYARA: Mgombea ubunge Jimbo la Hanang kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asia Halamga, ameomba ujenzi wa kiwanda cha nafaka ili kukuza uchumi kwa wananchi. Asia amewasilisha maombi hayo kwa Mgombea Urais Dk Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni za kunadi sera za chama hicho. ”Tunayo raslimali ya kutosha,tunayo malighafi ya kuzalisha saruji …
The post Mgombea ubunge Hanang aomba kiwanda cha nafaka first appeared on HabariLeo.