RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezindua  huduma za usafiri wa umma kwa kutumia mabasi ya umeme pamoja na Kituo cha Mabasi cha Malindi, ikiwa ni hatua muhimu katika kuboresha mfumo wa usafiri na kuhamasisha matumizi ya nishati safi visiwani Zanzibar.